Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Kisungu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 220,000/month

Maelezo

Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 220000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, pia fence ipo, usalama wa kutosha, kutoka kituoni dakika 1 tu, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi kisungu dar es salaam

Calls/whatsapp 0653233641 au 0768682919

Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalali endapo ulipapo apartmemt

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam