Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Zimbili, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
0679 997610
Apartment nzuri sana na mpya pia za kisasa zaidi inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, Location ya tabata kinyerezi zimbili dar es salaam
Sifa ya hii apartment ni chumba master, sebule na jiko lenye makabati, umeme na maji unajitegemea, full ac na feni, parking kubwa, reserve water tank, electric fence, kutoka kituoni dakika 4 hivi
Calls/whatsapp
0679 997610
0747997630
Msigwa
Servive charge tsh 20000
Malipo ya dalali















