Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tegeta Kibaoni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 NEW APARTMENTS
📍TEGETA KIBAONI
🛏️ Chumba (Master🚽)
🛋️ Sebule
🚰 Maji DAWASCO
🔌 Umeme Unajitegemea
💵 Kodi: 200,000/= kwa mwezi
🚶➡️ Service Charge ya kuonyeshwa nyumba ni : 30,000/=
🗓️ Malipo ya miezi 6
Call
0682 402 327 📶
0653 267 999 📶 ya WHATSSAP















