Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Kibo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 400,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

6m

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Stendi ya Mabasi

Maelezo

400k
APARTMENT MPYA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA. Ipo Ubungo kibo dakika 6 kwamguu kutoka stend ya mwendokasi. Ni Chumba kimoja master bedroom kina Makabati ya Nguo na sebure na jiko kubwa. Full AC na Free Wi-Fi. Inajitegemea umeme luku yakwako na maji Inajitegemea. Parking ipo na Barabara ni nzuri kwa aina zote za magari. Kodi Tsh. 400,000 kwa mwezi. Service charge elfu 15. Ukilipia nyumba ni kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali.
Simu
0679 997610
0747997630
Msigwa