Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo kibo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 400,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Huduma na Sifa

AirBnb
Parking Space
Karibu na Stendi ya Mabasi
Karibu na Stendi ya Mabasi
Air Conditioning
Intaneti

Maelezo

APARTMENT MPYA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA.

Ipo Ubungo kibo dakika 6 kwamguu kutoka stend ya mwendokasi

Ni chumba kimoja master na sebure na jiko. Full AC na Free Wi-Fi.

Parking ipo na Barabara ni nzuri kwa aina zote za magari. Kodi Tsh.

400,000 kwa mwezi. Service charge elfu 20. Ukilipia nyumba
kodi ya mwezi mmoja malipo ya dalali.

###0655256419
###0698617926