Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Riverside, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment MPYA inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk5 kutoka main road
NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA
Sebule
Jiko ( Open kitchen)
Public toilet
Luku yako
Maji yana flow ndani
Full a/c
Full tilles, gypsum & aluminum
Iko kwenye fenci
Kodi 450,000/= Kwa mwezi, Malipo miezi 6
Kwa maelezo zaidi piga :-
dalali osama contact
0674198120....0757908120















