Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Riverside, Dar Es Salaam









Ubungo, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 200,000/month
Aina
Apartment
Vyumba
1
Bafu
1
Barabara ya Karibu
5km
Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment Inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE dk 5 kutoka main road
NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA
Master Bedroom Kubwa sana
Luku ×3
Maji yana flow ndani
Full tilles & gypsum
Usalama wakutosha
Kodi 200,000/= Kwa mwezi, Malipo miezi 6
Service Charge 20,000/=
Kwa maelezo zaidi piga :-
0712528820
0685221354
Mr.















