Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)

Maelezo
šļø APARTMENTS ZINAUZWA ā KINYEREZI KIBAGA
š„ Fursa Adimu ya Uwekezaji!
š Eneo: Kinyerezi Kibaga
š° Bei: Milioni 65tu
š Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350
Sifa za Nyumba:
ā
Apartments 3
ā
Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
ā
Zipo ndani ya fensi
ā
Gari linafika hadi kwenye nyumba
ā
Maji na umeme vinapatikana
ā
Zote tayari zimepangishwa
šµ Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.
š Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000ā350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.
š„ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.
š Service Charge: 30,000/=
š Wasiliana: +255 744112394
Miliki Kesho Yako Leo!!!





