Tafuta

Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Maelezo

šŸ˜ļø APARTMENTS ZINAUZWA – KINYEREZI KIBAGA

šŸ’„ Fursa Adimu ya Uwekezaji!

šŸ“ Eneo: Kinyerezi Kibaga
šŸ’° Bei: Milioni 65tu
šŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350

Sifa za Nyumba:

āœ… Apartments 3
āœ… Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
āœ… Zipo ndani ya fensi
āœ… Gari linafika hadi kwenye nyumba
āœ… Maji na umeme vinapatikana
āœ… Zote tayari zimepangishwa

šŸ’µ Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.

šŸ“ˆ Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000–350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.

šŸ”„ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.

šŸ“ž Service Charge: 30,000/=
šŸ“ž Wasiliana: +255 744112394
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam