Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT INAPANGISHWA – KIMARA SUKA DAKIKA 5 KWA MIGUU
Apartment nzuri inapangishwa Kimara suka , umbali wa dakika 5 tu kwa miguu.
✅ Vyumba 3
✅ Chumba 1 master
✅ Sebule kubwa sana
✅ Ndani ya fensi
✅ Paving safi
✅ Umeme na maji ya kujitegemea
✅ Mazingira mazuri na tulivu
💰 Kodi: Tsh 500,000 kwa mwezi
📍 Kwenda kuona nyumba: Tsh 20,000
, utamlipa agent malipo ya mwezi mmoja pindi utakapolipia nyumba.
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747
0683-387747















