Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi Makofia, Dar Es Salaam


Aina
Apartment
Vyumba
3
Bafu
2
Barabara ya Karibu
4km
Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 300000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, dining room, jiko, store, public toilet, no parking, kutoka kituoni dakika 4 hadi 6 hivi, Hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi makofia dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge 20000
Au malipo ya dalali
https://www.instagram.com/p/DaTK7JooLXg/?igsh=MWppNGhnY3VzMGNtMw==















