Tafuta

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Bonyokwa, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 400,000/month

Maelezo

Nyumba nzuri sana inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6. Ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom. Sebule. Jiko. Umeme na maji unajitegemea. Parking ipo pia. Reserve water tank. Fance. Hii apartment ipo maeneo ya bonyokwa kwa mtaa wa songea dar es salaam

Calls/whatsapp au

Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali

Dalali tabata kinyerezi tz

dalali_tabata_kinyerezi_tz

@dalali_tabata_kinyerezi_tz

View Listings

Matangazo mengine Bonyokwa, Dar Es Salaam

Dalali tabata kinyerezi tz