Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Goba Centre, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
2
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA โ GOBA CENTRE, NJIA YA MAKONGO
Kodi: TSh 750,000 kwa mwezi
Malipo: Miezi 6 mbele
Sifa za Apartment: Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
Jiko la kisasa na zuri
Choo cha familia
Full Air Condition (A/C)
Heater ya maji
Umeme na maji vinapatikana muda wote
Electric Fence kwa usalama wa ziada
Maegesho ya magari yanapatikana
๐ Mahali: Goba Centre, Njia ya Makongo โ Dakika 2 tu kutoka barabara ya lami.
Viewing Fee: TSh 30,000
๐ Wasiliana nasi sasa
0620328143
LOYAL ELLY















