Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Beach Africana, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 900,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

2

Huduma na Sifa

Sebule
Jiko
Makabati ya Jiko
Public Toilet
Gypsum
Tiles

Maelezo

APARTMENT HOUSE FOR RENT
VYUMBA VIWILI VYA KULALA

IKO DAR ES SAALAM TZ LOCATION MBEZI BEACH AFRICANA

Kodi: Tsh 900,000 TZS kwa mwezi

+ Sifa za nyumba:
Vyumba 2 vikubwa vya kulala (kimoja ni Master)
• Sebule kubwa na Jiko lenye makabati Bafu la ndani na la public Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
Umeme wa Luku binafsi Maji ya bomba saa 24
Parking space ipo
Nie imepangwa kwa Paving blocks Nyumba imezungushiwa uzio
(Fenced) nyumba ni MPYAA

Nione dalali_mbezi_beach_godfrey1
Call/whatsapp #0625584914