Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Beach Jogoo, Dar Es Salaam







Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
21 hours ago
Sh. 700,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Air Conditioning
Maji
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea
Maelezo
🏠 APARTMENT YA KUPANGISHA – MBEZI BEACH JOGOO
📍 Ipo Dar es Salaam – Mbezi Beach Jogoo
💰 Kodi: TSH 700,000 kwa mwezi
📆 Malipo: Miezi 6
✨ Maelezo ya Nyumba:
• 🛏️ Vyumba 2 vya kulala (Master ipo)
• ❄️ AC ipo
• 🛋️ Sebule kubwa + Dining
• 🍽️ Jiko zuri lenye makabati
• 🚿 Bafu & Choo vya ndani + Public
• 🪟 Madirisha ya Aluminium
• 🧱 Gypsum + Tiles za kisasa
🌊 Huduma Muhimu:
• 💡 Umeme wa LUKU (separate meter)
• 🚰 Maji ya bomba 24hrs
• 🚗 Maegesho makubwa ya magari
• 🧱 Paving blocks nje
• 🌳 Garden nzuri
• 🔒 Imezungushiwa fence (Fenced apartment)
📞 Wasiliana sasa:
0746178918
