Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

3

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Parking Space
Jiko
Public Toilet
Makabati ya Jiko
Balcony

Maelezo

๐Ÿ‘ŒNi Appartment ya familia yenye sifa zifuatazo๐Ÿ‘‡

Ipo Mbezi Magufuli Round about ya kuelekea Goba

>Vyumba (2) vya kulala, Kimoja master, Sebule kubwa, jiko na public toilet.

>A/C kubwa sebleni.
>A/C ipo pia chumba cha MASTABEDROOM.

>Jiko lenye makabati ya vyombo.

>Choo cha pablic cha ndani na nje pia kipo
>Choo cha Master ni cha kukaa

>Baraza nyuma na mbele ya nyumba (Balcony)

>Makabati ya nguo yapo vyumba vyake vyote.

>Madirisha ni ya vioo + finishing ya kisasa kabisa!

>Inajitegemea LUKU yake
>Mita yake mwenyewe ya Dawasco.

>Parking ya kupaki gari 4

>Garden na maua nje

>Ulinzi wa USIKU ni bure

>CCTV cameras 24hrs

>USAFI wa Nje ni bure kila siku

>Uzoaji wa taka ni bure

>Panafikika kirahisi dakika 5 kutoka lami

KODI
ni TSH 500,000/= kwa mwezi . Tunapokea MIEZI (6)

Ipo wazi kulipia na kuhamia RUKSA

Karibuni sana๐Ÿ˜œ

Service charge ni shilingi 20,000

Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja

Contact:
0654101710
0787205300