Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 120,000

Aina

Apartment

Vyumba

2

Barabara ya Karibu

3km โ€” Morogoro Road

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Public Toilet
Umeme
Luku Inajitegemea
Maji
Mita ya Maji Inajitegemea
Mlinzi

Maelezo

(120,000X3)MBEZI KWA MSUGULI 3KM BAJAJI 1000
____________
๐Ÿ’ฅAPARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA
#NO JIKO
#PUBLIC TOILET
#LUKU INAJITEGEMEA
# MAJI YA DAWASA APO BURE ULIPI MAJI

BEI NI 120,000/= X 3

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซAPARTMENT HII IPO MBEZI KWAMSUGURI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 3 USAFIRI NI BODABODA 1500 AU BAJAJI 1000

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 20 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

USICHOKIJUWA APO USALAMA WA KUTOSHA

WAMASAI WAWILI WANALIPWA NA MWENYE NYUMBA AMBAO NI WALINZI
____________
CONTACT US:
0716223412
0662715781