Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam









Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 450000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko na public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking ipo, reserve water tank, paving block, kutoka kituoni ni nyumba ya pili tu, Location ya tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Call/whatsapp 0614900873
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















