Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Barabara ya Karibu

6minute

Huduma na Sifa

Parking Space
Maji
Umeme
Mita ya Maji Inajitegemea
Luku Inajitegemea
Tanki la Maji

Maelezo

Hii apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, jiko na public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking bubwa, reserve water tank, geti sio muda litawekwa, kutoka kituoni dakika 6 hadi 8 hivi, Location tabata kinyerezi mbuyuni opposite na new vibe school dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii