Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Zabika, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment mpya na nzuri sana inapangishwa bei 300000 kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking, reserve water tank, hii nyumba ni ya pili kutoka barabara ya lami, Location ya tabata kinyerezi zabika dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















