Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tandika, Dar Es Salaam

Maelezo
๐กโจ APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA โจ๐ก
๐ TEMEKE โ TANDIKA
Imesimamiwa na MAKINI REAL ESTATE
Unatafuta makazi ya kisasa, salama na yenye huduma bora? Hii ndiyo fursa yako ya kuishi katika apartment mpya yenye mazingira mazuri na inayopatikana kwa urahisi.
๐ SIFA ZA APARTMENT
๐๏ธ Vyumba 2 vya kulala
๐ Chumba 1 Master
๐๏ธ Sebule ya kisasa
๐ฝ๏ธ Jiko zuri na la kisasa
๐ป Choo cha wageni (Public Toilet)
โ๏ธ Full Air Conditioning (AC)
โจ๏ธ Heater ya maji ya moto
๐ Parking ya kutosha
๐น CCTV Camera kwa usalama wa saa 24
๐ Remote Gate
โก Electric Fence
โก Umeme wa LUKU (wa mpangaji)
๐ง Maji ya kisima ya uhakika
๐ข Apartments 4 tu ndani ya geti moja
๐ Eneo ni zuri na linafikika kwa urahisi, karibu kabisa na Barabara Kuu na Stendi za usafiri.
๐ฐ GHARAMA ZA UPANGISHAJI
๐ต Kodi: TZS 700,000 kwa mwezi
๐
Malipo: Miezi 3 mbele
๐ผ Malipo ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja.
๐ก๏ธ SERVICE CHARGE: TZS 100,000 kwa mwezi
Huduma zinazojumuishwa ni:
โ
Wi-Fi ya kasi
โ
Bili ya maji
โ
Ulinzi
โ
Uondoaji wa taka
โ
Usafi wa maeneo ya nje ya nyumba
๐ NB: Gharama ya kuangalia nyumba ni TZS 30,000.
๐ WASILIANA NASI LEO
๐ฑ 0755 100 856 (Simu & WhatsApp)
โจ Usikose nafasi hii ya kuhamia kwenye apartment mpya yenye hadhi, usalama wa hali ya juu na mazingira bora. Wasiliana nasi sasa ili kupanga muda wa kuitembelea kabla haijapangishwa!






