Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo External, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
2
Barabara ya Karibu
200m โ Maji Chumvi Road
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENT NZURI YA VYUMBA VIWILI VYA KULALA INAPANGISHWA
๐ฐ Kodi: TZS 800,000 kwa mwezi
๐ Eneo: Ubungo External โ Maji Chumvi Road
โ
Umbali wa mita 200 tu kutoka barabara kuu
โ
Mazingira tulivu, safi na ya kuvutia
โ
A/C katika vyumba vyote
โ
Heater kwenye mabafu yote
โ
Rahisi kufikika
VIGEZO VYA NYUMBA:
๐๏ธ Vyumba 2 vya kulala (Kimoja Master Bedroom)
๐๏ธ Sebule kubwa
๐ฝ๏ธ Eneo la dining
๐ณ Jikoni lenye makabati
๐ฝ Choo cha wageni
๐ฟ Bafu la ndani kwa Master Bedroom
โ๏ธ A/C imefungwa
๐ฅ Heater imefungwa
๐ Parking ya kutosha
๐ Ndani ya fensi
๐ง Maji ya bomba
โก Umeme wa kujitegemea
๐ก๏ธ Ulinzi na usalama wa kutosha
๐ฟ Mazingira mazuri na yenye utulivu
๐ณ Masharti ya Malipo: Miezi 6 mbele
๐ Wasiliana Nasi:
WhatsApp & Simu: 0684561351
โโโโโโโโโโโโโโโโโโโโ
โ ๏ธ TAARIFA MUHIMU
๐น Service Charge: TZS 20,000 (Ada ya kuonyeshwa/kutembelea nyumba)
๐น Commission ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja (hulipwa na mpangaji baada ya kukubaliana na nyumba)















