Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo Kibangu Riverside, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 280,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Feni
Balcony
Luku Inajitegemea
(Fence) Ukuta
CCTV

Maelezo

Kuna Apartment Moja hapa ubungo kibangu river side

Ina vyumba viwili sebule, jiko, bafu, Water heater, Feni TV cable connection , balcon-mbele na nyuma, iko Floor ya kati kati ,maji yapo muda wote. Kuna Mita binafsi ya umeme, (B2) Car park ya kutosha, Ulinzi (SUMAGUARD) ikiwemo CCTV. Pia kuna Free WiFi. Iko wazi kuanzia tarehe 12 ,April 2026.
kwa:

Bei ya Sh 280,000/=

Malipo ni
Miezi minne.( sh 1,120,000)

Pia kwa wenye watoto wa chekechea mpaka darasa la sita kuna shule nzuri na bei nafuu sana, hamia na mtoto wako.
Karibuni

Contact
0742260844
0657384670