Tafuta

Apartment ya vyumba viwili inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (650 sqm)

video thumbnail
Sh. 145,000,000

Maelezo

๐Ÿก APARTMENTS MPYA ZINAUZWA โ€“ TABATA SANENE

Unatafuta nyumba ya kupata kipato cha uhakika?
Hii ndiyo fursa yako!

๐Ÿ“ Zipo Tabata Sanene, takribani dakika chache kutoka stendi, barabara ni nzuri na panafikika kwa urahisi.
Eneo ni tulivu.

โœจ Sifa za nyumba:
โœ… Apartments 2, kila moja ikiwa na:

* Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha wageni

๐Ÿ’ง Kila apartment ina:

* LUKU yake binafsi
* Maji yake binafsi
* Water reserve tank

๐Ÿ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 650
๐Ÿš— Parking ipo
๐Ÿ—๏ธ Bado kuna nafasi ya kujenga apartments nyingine

๐Ÿ’ฐ Mapato ya sasa:
Kila apartment inalipwa TSh 400,000 kwa mwezi, hivyo mapato ni TSh 800,000+ kwa mwezi.

๐Ÿ“ˆ Fursa ya kuongeza mapato:
Ukifunga A/C, water heater, makabati ya kisasa jikoni, na kuweka paving, unaweza kuongeza kodi hadi TSh 600,000โ€“800,000 kwa mwezi kwa kila apartment, kutokana na ubora na hadhi ya nyumba hizi.

๐Ÿ’ต Bei: TSh 145,000,000

๐Ÿ“„ Miliki halali ipo, biashara imenyoka.

๐Ÿ“ž Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000
๐Ÿ“ฒ Piga: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! ๐Ÿ”ฅ

#tabata #daressalaam #dalali

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (650 sqm)

Sh. 145,000,000

For Sale2 beds2 baths650 sqmapartment
Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000,000

For Sale2 bedsapartment
Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000,000

For Sale2 bedsapartment
Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000,000

For Saleapartment
Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000,000

For Saleapartment