Apartment ya vyumba viwili inauzwa Tabata Sanene, Dar Es Salaam (650 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENTS MPYA ZINAUZWA โ TABATA SANENE
Unatafuta nyumba ya kupata kipato cha uhakika?
Hii ndiyo fursa yako!
๐ Zipo Tabata Sanene, takribani dakika chache kutoka stendi, barabara ni nzuri na panafikika kwa urahisi.
Eneo ni tulivu.
โจ Sifa za nyumba:
โ
Apartments 2, kila moja ikiwa na:
* Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha wageni
๐ง Kila apartment ina:
* LUKU yake binafsi
* Maji yake binafsi
* Water reserve tank
๐ Ukubwa wa kiwanja: SQM 650
๐ Parking ipo
๐๏ธ Bado kuna nafasi ya kujenga apartments nyingine
๐ฐ Mapato ya sasa:
Kila apartment inalipwa TSh 400,000 kwa mwezi, hivyo mapato ni TSh 800,000+ kwa mwezi.
๐ Fursa ya kuongeza mapato:
Ukifunga A/C, water heater, makabati ya kisasa jikoni, na kuweka paving, unaweza kuongeza kodi hadi TSh 600,000โ800,000 kwa mwezi kwa kila apartment, kutokana na ubora na hadhi ya nyumba hizi.
๐ต Bei: TSh 145,000,000
๐ Miliki halali ipo, biashara imenyoka.
๐ Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000
๐ฒ Piga: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! ๐ฅ
#tabata #daressalaam #dalali















