Duka linapangishwa Kinondoni, Dar Es Salaam

Kinondoni, Dar Es Salaam
20 days ago
Sh. 600,000/month
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Service Charge30000
Maelezo
🏪 FREMU INAPANGISHWA – KINONDONI
📍 Eneo la Kinondoni
💰 Kodi: Tsh 600,000 kwa mwezi
✅ Fremu nzuri kwa biashara mbalimbali.
✅ Inafaa kwa duka, ofisi, saluni, pharmacy, showroom na biashara nyingine.
✅ Eneo lenye muonekano mzuri na wateja wengi.
📌 Service Charge: Tsh 30,000
📞 Wasiliana: 0678 512 666















