Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Frem nzuri sana inapangishwa Sinza kwa bei ya Tsh 600,000/= kwa mwezi 💥
Ipo sehemu nzuri sana yenye biashara nyingi na mazingira mazuri kwa biashara yako kukua 📍
✅ Inafaa kwa biashara mbalimbali
✅ Eneo la biashara lenye watu wengi
✅ Panafikika kirahisi
✅ Mazingira safi na salama
💰 Bei: 600,000/=
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748 kwa maelezo zaidi na kuja kuiona.















