Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam
Sinza, Dar Es Salaam
7 days ago
Sh. 250,000/month
Huduma na Sifa
Karibu na Stendi ya Mabasi
Service Charge
Maelezo
📍 FREM INAPANGISHWA – SINZA 📍
Frem nzuri inapangishwa Sinza kwa bei ya Tsh 250,000/= tu kwa mwezi. Ipo mtaa mzuri sana wa biashara wenye mazingira mazuri na movements za kutosha kwa biashara yako.
✅ Inafaa biashara yoyote
✅ Eneo zuri la biashara
✅ Mazingira rafiki kwa wateja
✅ Service Charge: 30,000/= tu
📞 Call/WhatsApp:















