Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000 per month

Aina

Duka

Maelezo

🔥 FREM KUBWA INAPANGISHWA – SINZA 🔥

Hii sio frem ya kawaida… ni nafasi ya biashara yenye uhakika wa mafanikio!

✨ Frem kubwa sana na ya kuvutia
✨ Ipo eneo la kimkakati lenye watu wengi muda wote
✨ Inafaa kwa biashara yoyote – shop, office, saluni, n.k
✨ Mazingira safi na salama kwa wateja wako

💰 Bei: 800,000/= kwa mwezi
💼 Service Charge: 30,000/=

📞 Piga simu sasa: 0787093748

🚀 Wahi ichukue kabla haijachukuliwa – sehemu kama hii hupatikana kwa nadra sana!