Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000 per month

Aina

Nafasi ya Biashara

Maelezo

🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥

Unatafuta sehemu nzuri ya kuanzisha biashara au ofisi? Hii hapa fursa yako! 👇

📍 Ipo Sinza, eneo zuri lenye mzunguko mkubwa wa watu
🏢 Frem nzuri na yenye muonekano wa kuvutia
💼 Inafaa kwa ofisi au duka la aina yoyote
💰 Bei: 200,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: 30,000/=

⚡ Sehemu rafiki kwa biashara yako kukua haraka!

📞 Wahi sasa: 0787093748

Usikose nafasi hii adimu! 🚀