Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
16 hours ago
Sh. 1,200,000 per month
Aina
Nafasi ya Biashara
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
🔥 FREM KUBWA SANA INAPANGISHWA – SINZA (SHEKILANGO ROAD) 🔥
Unatafuta sehemu bora ya biashara? Hii hapa nafasi ya kipekee! 👇
📍 Ipo Sinza, inatizama moja kwa moja barabara ya lami – Shekilango Road
🏢 Frem kubwa sana, yenye muonekano wa kuvutia na kisasa
💼 Inafaa kwa biashara ya aina yoyote (duka, ofisi, salon, pharmacy n.k.)
🌟 Eneo lina mzunguko mkubwa wa watu – biashara yako itaonekana kirahisi
💰 Bei: 1,200,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Usikose nafasi hii adimu – wahi sasa kabla haijachukuliwa! 🚀
