Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000 per month

Aina

Nafasi ya Biashara

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

๐Ÿ”ฅ KIBANDA CHA WAKALA KINAPANGISHWA โ€“ SINZA ๐Ÿ”ฅ

Unatafuta sehemu nzuri ya kuanzisha huduma za pesa? Hii hapa nafasi yako!

๐Ÿ“ Sinza
๐Ÿ’ฐ Bei: 200,000/- kwa mwezi
๐Ÿ“Œ Service Charge: 30,000/-

โœ… Kibanda kinatizama lami kabisa
โœ… Kioo safi na muonekano mzuri
โœ… Eneo lenye watu wengi โ€“ biashara inatembea
โœ… Location kali sana kwa huduma za wakala (M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k.)

Hii ni sehemu ambayo hautajutia kuwekeza โ€“ njoo uanze kupiga hela mapema! ๐Ÿ’ธ

๐Ÿ“ž Call: 0787093748