Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam



Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
21 hours ago
Sh. 300,000 per month
Aina
Nafasi ya Biashara
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Unatafuta sehemu bora ya biashara au ofisi? Hii hapa ni chaguo sahihi kabisa!
📍 Eneo: Sinza
💰 Bei: 300,000/= kwa mwezi
✨ Frem nzuri sana yenye muonekano wa kuvutia
🚗 Inatazama lami – rahisi kuonekana na kuvutia wateja
💼 Inafaa kwa biashara ya aina yoyote, hata kwa ofisi (wazee wa ofisi hapa ndipo penyewe 😉)
📈 Eneo zuri lenye mzunguko wa watu
🔌 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Wahi sasa kabla haijachukuliwa! 🚀
