Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Kariakoo Mafia, Dar Es Salaam

Sh. 3,000,000/month

Maelezo

FREM FOR RENT:
Ni kubwa sana
Mbili kwa moja
Inaangalia mbele
Biashara ni yeyote tu hatuchagui lkn vipodozi,urembo,piki piki na vifaa vyake,ofisi,spea,transport agency nk hatuchagui sisi
Kodi ni sh Milioni 3 per month
Malipo ni mwaka
Location KARIAKOO MAFIA
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR