Frame ya Biashara inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Maelezo
Fremu nzuri na ya kisasa inapangishwa eneo la Kimara Korogwe, ipo barabarani kabisa katika sehemu yenye muamko mkubwa wa biashara na wateja wengi.
💰 GHARAMA NA MALIPO
🔹 Kodi: Tsh 350,000 kwa mwezi
🔹 Malipo ya kodi: Miezi 6
🔹 Unapochukua fremu utalipakodi ya mwezi mmoja dalali
• Service charge: Tsh 20,000
🏪 BIASHARA YEYOTE INARUSIWA KWENYE FREMU HII KAMA VILE:
✅ Duka
✅ Saloon
✅ Mgahawa
✅ Ofisi
✅ Huduma za kifedha (M-Pesa / Tigo Pesa)
✅ Pharmacy
✅ Na biashara nyingine yoyote halali
📞 Kwa maelezo zaidi piga simu: 0659336751















