Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000/month

Maelezo

Fremu nzuri na ya kisasa inapangishwa eneo la Kimara Korogwe, ipo barabarani kabisa katika sehemu yenye muamko mkubwa wa biashara na wateja wengi.
πŸ’° GHARAMA NA MALIPO
πŸ”Ή Kodi: Tsh 350,000 kwa mwezi
πŸ”Ή Malipo ya kodi: Miezi 6
πŸ”Ή Unapochukua fremu utalipakodi ya mwezi mmoja dalali
β€’ Service charge: Tsh 20,000
πŸͺ BIASHARA YEYOTE INARUSIWA KWENYE FREMU HII KAMA VILE:
βœ… Duka
βœ… Saloon
βœ… Mgahawa
βœ… Ofisi
βœ… Huduma za kifedha (M-Pesa / Tigo Pesa)
βœ… Pharmacy
βœ… Na biashara nyingine yoyote halali
πŸ“ž Kwa maelezo zaidi piga simu: 0659336751