Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Mwenge, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 2,000,000/month

Maelezo

🏒 FREM INAPANGISHWA – MWENGE

Frem ya kisasa inapangishwa Mwenge kwa 2,000,000/= tu kwa mwezi!

Ipo kwenye eneo bora kabisa la biashara, lenye mzunguko mkubwa wa watu na urahisi wa kufikika. Frem hii inakupa nafasi nzuri ya kukuza biashara yako iwe duka, saloon, boutique au office.

✨ Muonekano wa kisasa
✨ Location ya biashara yenye mvuto mkubwa
✨ Mazingira salama na yenye uhitaji wa huduma mbalimbali

πŸ’° Service charge: 30,000/=

Hii ni nafasi adimu kwa mfanyabiashara anayetaka kukua na kuongeza wateja.

πŸ“ž Piga simu/WhatsApp: 0787093748