Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Maelezo
π’ Banda la Wakala Linapangishwa β Sinza
β
Bei: Tsh 100,000 kwa mwezi
β
Eneo zuri la biashara
β
Linafaa kwa wakala wa huduma za kifedha, miamala na biashara ndogo ndogo
β
Linapatikana Sinza, eneo lenye watu wengi na mzunguko mzuri wa wateja
π Wahi sasa kabla halijachukuliwa!















