Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 500,000/month

Maelezo

🚨 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🚨
📍 Eneo zuri la biashara, karibu na barabara kuu. 💰 Kodi: TSh 500,000 kwa mwezi 📅 Malipo: Miezi 6
✅ Inafaa kwa: • Salon 💇‍♀️ • Boutique 👗 • Cosmetics 💄 • Pharmacy 💊 • Office 🏢 • Biashara yoyote yenye uhitaji wa muonekano mzuri wa biashara.
🚗 Parking ipo ⚡ Umeme unajitegemea 👀 Eneo lina wateja wa kutosha
💵 Service charge: TSh 30,000
📞 Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kuja kuiona fremu.