Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sh. 500,000/month

Maelezo

📍FREM INAPANGISHWA 🔥SINZA

📍Sinza
💰Bei 500,000/= kwa mwezi

✅Eneo zuri kwa biashara
✅Karibu na barabara
✅Inafaa kwa duka , Ofisi, Salon, Na biashara nyingine mbalimbali
✅Mazingira salama na yenye mzunguko mkubwa wa watu

📌Malipo miezi 6
📌Service charge 30,000
📌Dalali mwezi mmoja

☎️Wasiliana nasi 0685303121

Wahi mapema frem zimebaki chache