Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000/month

Maelezo

🚨 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🚨

πŸ“ Eneo bora la biashara, linaonekana vizuri na lipo karibu na barabara kuu.
πŸ’° Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
πŸ“… Malipo: Miezi 6

βœ… Inafaa kwa:
β€’ Salon πŸ’‡β€β™€οΈ
β€’ Boutique πŸ‘—
β€’ Pharmacy πŸ’Š
β€’ Cosmetics πŸ’„
β€’ Office 🏒
β€’ Mini Supermarket πŸ›’
β€’ Biashara yoyote inayohitaji eneo lenye wateja wa kutosha.

✨ Muonekano mzuri wa biashara
πŸš— Parking ipo
⚑ Umeme unajitegemea

πŸ’΅ Service Charge: TSh 30,000

πŸ“ž Wasiliana nasi sasa kupanga kuiona fremu kabla haijapangishwa!