Guesthouse inauzwa Kigamboni Darajani, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 NYUMBA YA BIASHARA INAUZWA – KIGAMBONI DARAJANI
🔥 FURSA NZURI YA UWEKEZAJI WA NYUMBA ZA KUPANGISHA! 🔥
Nyumba inauzwa Kigamboni – Darajani, ikiwa tayari ina wapangaji, hivyo mnunuzi anaweza kuendelea na biashara na kupata mapato baada ya kukamilisha manunuzi.
✨ SIFA ZA NYUMBA:
✅ Vyumba 11, vyote Master
✅ Mfumo wa nyumba za kupangisha
✅ Vyumba vyote vina wapangaji
✅ Kila chumba kinapangishwa kwa TZS 150,000 kwa mwezi
✅ Biashara tayari inaendelea
💰 BEI: TZS MILIONI 350
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
📄 DOCUMENTS: Sales Agreement
💵 SERVICE CHARGE: TZS 30,000
📍 UMBALI:
📌 Mita chache kutoka Baba Alami
📌 Kilomita 3 kutoka Ferry
📌 Takribani mita 900 kutoka Daraja la Nyerere
🔥 INAFAA KWA UWEKEZAJI WA:
🏠 Guest House
🏢 Apartment za Kupangisha
🏨 Hotel
🏡 Airbnb
🛋️ Full Furnished Apartments
📈 FURSA YA MAPATO:
Kwa vyumba 11 × TZS 150,000, mapato ya upangishaji ni takribani TZS 1,650,000 kwa mwezi, ikiwa vyumba vyote vimepangishwa.
📞 WASILIANA NASI:
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















