Guesthouse inauzwa Kigamboni Darajani, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π NYUMBA YA BIASHARA INAUZWA β KIGAMBONI DARAJANI
π₯ FURSA NZURI YA UWEKEZAJI WA NYUMBA ZA KUPANGISHA! π₯
Nyumba inauzwa Kigamboni β Darajani, ikiwa tayari ina wapangaji, hivyo mnunuzi anaweza kuendelea na biashara na kupata mapato baada ya kukamilisha manunuzi.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 11, vyote Master
β
Mfumo wa nyumba za kupangisha
β
Vyumba vyote vina wapangaji
β
Kila chumba kinapangishwa kwa TZS 150,000 kwa mwezi
β
Biashara tayari inaendelea
π° BEI: TZS MILIONI 350
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π DOCUMENTS: Sales Agreement
π΅ SERVICE CHARGE: TZS 30,000
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 3 kutoka Ferry
π Takribani mita 900 kutoka Daraja la Nyerere
π₯ INAFAA KWA UWEKEZAJI WA:
π Guest House
π’ Apartment za Kupangisha
π¨ Hotel
π‘ Airbnb
ποΈ Full Furnished Apartments
π FURSA YA MAPATO:
Kwa vyumba 11 Γ TZS 150,000, mapato ya upangishaji ni takribani TZS 1,650,000 kwa mwezi, ikiwa vyumba vyote vimepangishwa.
π WASILIANA NASI: 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















