Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Center, Dar Es Salaam (1300 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MBILI ZINAUZWA โ KIGAMBONI CENTER ๐ฅ๐ก.
๐ FURSA NZURI YA MAKAZI NA UWEKEZAJI!
Nyumba mbili zinauzwa pamoja katika eneo zuri la Kigamboni Center, zikiwa na nafasi nzuri kwa matumizi ya familia na uwekezaji.
โจ NYUMBA YA KWANZA:
๐๏ธ Vyumba 3, vyote Master
๐๏ธ Sebule
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko
๐ช Ina geti lake binafsi
โจ NYUMBA YA PILI:
๐๏ธ Vyumba 2, vyote Master
๐๏ธ Sebule
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko
๐ช Ina geti lake binafsi
๐๏ธ BONUS YA UWEKEZAJI:
Bado kuna eneo limebaki lenye geti lake binafsi, linalofaa kujenga Apartment na kuongeza chanzo cha mapato.
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 1300
๐ Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
๐ฐ Bei: TSH MILIONI 300
๐ค Mazungumzo kidogo yapo.
๐ LOCATION: KIGAMBONI CENTER
๐ Mita chache kutoka barabara ya lami
๐ Km 10 kutoka Feri
๐ Km 10 kutoka Kigamboni Darajani
๐ฅ Hii ni fursa ya kipekee kwa mtu anayehitaji nyumba mbili na bado apate nafasi ya kujenga apartment kwa ajili ya uwekezaji.
๐.
.















