Nyumba inauzwa Makumbusho, Dar Es Salaam (300 sqm)
Aina
Nyumba
Ukubwa
300 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MBILI ZINAUZWA!
📍 Location: Makumbusho (Caprocon)
🏠 Nyumba ya kwanza 💰 Bei: TSh Milioni 190 📐 Ukubwa: SQMT 300 📄 Umiliki: Leseni ya makazi 👤 Mmiliki: Mmoja
🏠 Nyumba ya pili 💰 Bei: TSh Milioni 200 📐 Ukubwa: SQMT 300 📄 Umiliki: Leseni ya makazi (Mirathi)
Unaweza kununua nyumba moja au zote mbili.
👀 Gharama ya kupelekwa kuona nyumba ni TSh 50,000. 📌 Malipo ya dalali ni 5% (analipa mteja).
📞 Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuona nyumba, piga simu: 0740551556.
#propertyforsale #daressalaam #NyumbaInauzwa #primespaceproperty















