Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (8 acre)


Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 HEKA 8 Karibu na Daraja la Nyerere – TSh Bilioni 5 (Maongezi Yapo)
Je, unatafuta eneo la kimkakati kwa uwekezaji wenye faida ya muda mrefu?
🏝️ HEKA 8 zenye Approved Plan, zikiwa takribani km 3 kutoka Daraja la Nyerere na zikitazama mkondo wa bahari.
✅ Eneo la biashara na uwekezaji
✅ Linafaa kwa Warehouse, Yard, Hotel, Shule, Hospitali, Kiwanda na miradi mingine mikubwa.
✅ Miundombinu inafikika kwa urahisi.
⚠️ Maeneo makubwa ya karibu na Daraja la Nyerere yanazidi kuwa machache. Wekeza leo kabla thamani haijaendelea kupanda.
📍 Karibu ofisi zetu zilizopo Nyerere Bridge.
📞 Sam: 0689 621 263















