Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (3 acre)

Maelezo
🔥 FURSA YA UWEKEZAJI – KIGAMBONI 🔥
📍 Eneo Linauzwa – Kigamboni
📐 Hekari 3 (SQM 12,000)
💰 Bei: TSh Milioni 300
Eneo hili linafaa kwa uwekezaji mkubwa kama:
✅ Sheli (Petrol Station)
✅ Yard
✅ Godown
✅ Warehouse
✅ Viwanda vidogo na biashara nyingine za kibiashara
Usikose nafasi ya kuwekeza kwenye eneo lenye fursa kubwa ya maendeleo na ongezeko la thamani.
📞 Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea eneo.
#Kigamboni #LandForSale #Investment #RealEstate #CommercialLand IMAXRealEstate















