Tafuta

Kiwanja kinauzwa Goba Njia Ya Makongo Juu, Dar Es Salaam (700 sqm)

Sh. 100,000,000

Maelezo

Karibu sana ndugu mteja🙏🏾
✨Kiwanja kikali mnoo pazuri sana panafaa kujenga nyumba ya ndoto zako au kuwekeza apartments Air Bnb

✨Ukubwa wa kiwanja: SQMT 700

✨Location: Goba njia ya Makongo Juu

✨Barabara tambalale sana kwa aina yoyote ya gari

✨Bei : Million 100 (maongezi yapo kidgo)

✨Umbali kutoka lami mita 700

✨Umiliki: Mmoja

✨Documents: Upimaji

🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall

🙏🏽karibu kwa mawasiliano zaidi tupigie:

Dalali wa Makongo,sinza, Ubungo,mikochen,mbez beach,Goba,Mbweni

abbymajumba_tz

@abbymajumba_tz

View Listings
Dalali wa Makongo,sinza, Ubungo,mikochen,mbez beach,Goba,Mbweni