Tafuta

Kiwanja kinauzwa Makongo, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 150,000,000

Maelezo

πŸ”₯ π— π—”π—žπ—’π—‘π—šπ—’ β€” π—£π—Ÿπ—’π—§ 𝗬𝗔 𝗦𝗀𝗠 𝟲𝟬𝟬 π—žπ—ͺ𝗔 𝗧𝗦𝗛 πŸ­πŸ±πŸ¬π— ! 🏑

Unatafuta eneo la kujenga nyumba yako ya kifahari au unataka kuingia kwenye ujenzi wa apartments? Hii ni fursa ya kuja kuiona.

πŸ“ Makongo, Dar es Salaam
πŸ“ Ukubwa: SQM 600
πŸ’° Bei: TSh 150,000,000
πŸ“ Eneo limepimwa (surveyed)
πŸ›£οΈ Karibu na barabara
🏑 Mazingira mazuri na mtaa uliotulia

Eneo hili linafaa sana kwa Luxury Home, Apartments au property nyingine ya kiwango cha juu.

Kinacholifanya liwe interesting zaidi ni kwamba majirani waliopo tayari wamejenga apartments nzuri, hivyo mazingira yanaonyesha potential kubwa kwa mtu anayepanga kujenga property ya aina hiyo.

πŸ“ Kutoka Mlimani City ni takribani dakika 8 kufika eneo hili.
Eneo zuri, mtaa mzuri na nafasi ya kujenga kitu kikubwa. Usilisikie tuβ€”njoo ulione mwenyewe. πŸ”₯

πŸ“ž πŸ“² Book Site Visit NOW!

☎️
πŸ“ STAMARA PROPERTIES COMPANY LIMITED
Mwenge Bamaga, Dora Tower – Floor ya 5.

#StamaraProperties #Makongo #PropertyForSale #RealEstateTanzania #daressalaam

AKIBA PROPERTIES LTD

akiba_properties.co.ltd

@akiba_properties.co.ltd

View Listings
AKIBA PROPERTIES LTD