Kiwanja kinauzwa Makongo, Dar Es Salaam (600 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ π πππ’π‘ππ’ β π£ππ’π§ π¬π π¦π€π π²π¬π¬ ππͺπ π§π¦π ππ±π¬π ! π‘
Unatafuta eneo la kujenga nyumba yako ya kifahari au unataka kuingia kwenye ujenzi wa apartments? Hii ni fursa ya kuja kuiona.
π Makongo, Dar es Salaam
π Ukubwa: SQM 600
π° Bei: TSh 150,000,000
π Eneo limepimwa (surveyed)
π£οΈ Karibu na barabara
π‘ Mazingira mazuri na mtaa uliotulia
Eneo hili linafaa sana kwa Luxury Home, Apartments au property nyingine ya kiwango cha juu.
Kinacholifanya liwe interesting zaidi ni kwamba majirani waliopo tayari wamejenga apartments nzuri, hivyo mazingira yanaonyesha potential kubwa kwa mtu anayepanga kujenga property ya aina hiyo.
π Kutoka Mlimani City ni takribani dakika 8 kufika eneo hili.
Eneo zuri, mtaa mzuri na nafasi ya kujenga kitu kikubwa. Usilisikie tuβnjoo ulione mwenyewe. π₯
π π² Book Site Visit NOW!
βοΈ
π STAMARA PROPERTIES COMPANY LIMITED
Mwenge Bamaga, Dora Tower β Floor ya 5.
#StamaraProperties #Makongo #PropertyForSale #RealEstateTanzania #daressalaam















