Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (500 sqm)

Kibada, Kigamboni, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 150,000,000
Aina
Kiwanja
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maji
Umeme
Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Hati
Ardhi Iliyopimwa
Maelezo
📍 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA (CHEKECHEA)
Unatafuta eneo zuri la kujenga au uwekezaji? Hiki ni kiwanja chenye sifa zote muhimu!
🔹 Maelezo ya Kiwanja:
• Ukubwa: SQM 500
• Kimegusa barabara ya lami 🛣️
• Kimezungushiwa uzio (Fenced Plot)
• Kina kisima cha maji 💧
• Umeme upo tayari ⚡
• Hati halali ya Wizara
💰Bei, Millioni 150 (Maongezi Yapo)
🌟 Eneo linafikika kwa urahisi na linafaa kwa makazi au uwekezaji wa uhakika.
📞 Wasiliana: 0769554221
#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateforsale #trendingnow
