Tafuta
-
-

Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Aina

Kiwanja

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Hati
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

📍 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA (CHEKECHEA)

Unatafuta eneo zuri la kujenga au uwekezaji? Hiki ni kiwanja chenye sifa zote muhimu!

🔹 Maelezo ya Kiwanja:
• Ukubwa: SQM 500
• Kimegusa barabara ya lami 🛣️
• Kimezungushiwa uzio (Fenced Plot)
• Kina kisima cha maji 💧
• Umeme upo tayari ⚡
• Hati halali ya Wizara
💰Bei, Millioni 150 (Maongezi Yapo)

🌟 Eneo linafikika kwa urahisi na linafaa kwa makazi au uwekezaji wa uhakika.

📞 Wasiliana: 0769554221
#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateforsale #trendingnow