Kiwanja kinauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Vyumba
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ FURSA ADIMU โ KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI KWA DITOPILE ๐ฅ
๐ Location: Kinyerezi โ KWA DITOPILE
๐ Takriban KM 1 kutoka Kinyerezi Shule
๐ Barabara inafikika kirahisi kwa gari, bodaboda au pikipiki
โธป
๐ Ukubwa: Square Meter 400 (20 x 20)
๐ Ndani kuna nyumba yenye:
โข Chumba kimoja
โข Sebule
๐ Unaweza:
โ
Kuishi mwenyewe mara moja
โ
Kupangisha na kupata kipato
โ
Kubomoa na kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto zako
๐ณ Eneo ni tulivu, neighbourhood imetulia sana
๐งโก Huduma zote za msingi za kijamii zipo na zinapatikana bila shida
๐ฐ Bei: Milioni 17 (Mazungumzo yapo kidogo)
Karibu sana ndugu mwekezaji au mfanyabiashara.
Hii ni fursa nzuri kwa mwenye mtaji wa kuanzia au anayetaka eneo la kujenga makazi yake.
๐ Piga simu 0688412890 leo kabla halijaondoka!




















